Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya EURO 2016

LAMPARD: TUNAHITAJI KOCHA MZOEFU

Picha
Frank Lampard ametwaa vikombe 106 huku akitupia mabao 29 ndani ya miaka 15 akiwa na timu yake ya taifa ya Uingereza

UFARANSA YAIUA UJERUMANI 2-0 YATINGA FAINALI (PICHA)

Picha
Antoine Griezmann amezama wavuni mara mbili hivyo kuifanya ufaransa kutinga fainali katika michuano ya Euro 2016

WALES VS BELGIUM - ROBO FAINALI YA PILI LEO

Picha
Robo fainali ambayo inasubiliwa kwa hamu katika michuano ya Euro 2016 ni hii ya leo ambapo Wales watajitupa uwanjani kuvaana na Belgium, ambayo ni timu inayoogopwa zaidi barani Ulaya.

URENO YATINGA NUSU FAINALI EURO

Picha
Ureno imetinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya Euro inayoendelea nchini Ufaransa na kuwa nchi ya kwanza kufuzu katika hatua hiyo baada ya kuwafunga Poland kwa mikwaju ya penalti 5-3.

RONALDO USO KWA USO NA LEWANDOWISK LEO

Picha
Poland v Portugal Portugal wanataka kufuzu katika hatua ya nne bora (nusu-fainali) ya michuano ya Ulaya kwa mara ya nne kati ya mara tano ya michuano hiyo hii leo wakikutana na Poland

NYOTA KIBAO EURO KUPATA ULAJI (PAYET, KROOS, POGBA, MOLATA)

Picha
Toni Kroos, Dimitri Payet, Alvaro Morata, Michy Batshuayi: Ni wachezaji vinara wa Euro 2016 wanaowindwa zaidi na vilabu vyenye pesa barani Ulaya Je! Paul Pogba anaweza kuihama Juventus baada ya Euro 2016?

ITALY YAILAZA SPAIN 2-0

Picha
Italy imeendelea kuonesha ubabe wake katika michuano  ya Ulaya Euro 2016 baada ya kuonesha kiwango kizuria wakati wakiitandika Hispania hapo jana jumla ya mabao 2-0 mjini  Paris na hivyo hatua ya robo fainali Italy watapepetana na  Germany 

KOCHA WA ENGLAND AJIUZULU BAADA YA KICHAPO

Picha
Roy Hodgson amejiuzulu kuendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya England punde mara baada ya kufungwa na Iceland katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Ulaya Euro 2016