MOUSSA DEMBELE AJIUNGA NA CELTIC
Celtic imemsajili Moussa Dembele kwa mkataba wa miaka minne baada ya mshambuliaji huyo kukamilisha vipimo vya afya huko Glasgow jumanne wiki hii.
Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.