Machapisho
Inaonyesha machapisho yenye lebo ya YANGA
AL AHLY USO KWA USO NA YANGA TAIFA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Yanga watakutana na Al Ahly uwanja wa taifa Dar es Salaam Klabu ya Young Africans itashuka dimbani kesho Jumamosi kucheza dhidi ya miamba wa Misri Al Ahly hatua ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa barani Afrika (CAF CL). Mechi hiyo itachezewa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki.
RATIBA LIGI KUU BARA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Katika mwendelezo wa ligi kuu Tanzania bara leo watani wa jadi Simba na Yanga wanakutana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam ikiwa kila timu inakamilisha mechi yake ya nne tangu kuanza kwa ligi msimu huu wa 2015/16.Mechi hii inatarajiwa kuanza majira ya saa 10:00 jioni. Mechi nyingine za Ligi Kuu ya Vodacom leo zitakuwa ni kati ya Coastal Union dhidi ya Mwadui FC katika Uwanja wa Mkwakwani mijini Tanga, Prisons na Mgambo JKT Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya, JKT Ruvu na Stand United Uwanja wa Karume, Dar es salaam, Mtibwa Sugar na Majimjaji ya Songea Uwanja wa Manungu, Turiani, Morogoro na Kagera Sugar na Toto Africans Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Ligi hiyo itaendelea kesho kwa michezo miwili, kati ya Azam FC na Mbeya City Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam na African Sports na Ndanda FC Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
YANGA SC WAWEKA KAMBI KUJIANDAA NA WAGOSI WA KAYA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
YANGA SC WAIENDEA BAGAMOYO COASTAL UNION, PATACHIMBIKA TAIFA JUMAPILI
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine