Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya ANDY MURRAY

MURRY NA SERENA WASONGA MBELE

Picha
Serena Williams na Andy Murray wamefanikiwa kutinga katika mzunguko wa pili wa michuano ya Wimbledon inayoendelea mjini London.

AND MURRAY NJE US OPEN

Picha
Mcheza Tenisi Andy Murray ameyaaga mashindano ya US Open baada ya kuchapwa na Kevin Anderson wa Afrika ya kusini.