Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya EPL

LIVERPOOL YAUA 5-0, NYOTA MPYA ATUPIA (PICHA)

Picha
Wachezaji wa Liverpool wakishangilia goli lao la kwanza ndani ya uwanja wa Highbury Stadium Marko Grujic amefunga goli wakati timu yake ya Liverpool ikishinda 5-0 dhadi ya Fleetwood katika mtanange wa kirafiki uliopigwa usiku wa kuamkia leo ikiwa ni moja ya maandalizi ya msimu ujao.

CHELSEA YANASA KIFAA KIPYA EURO 2016

Picha
Chelsea imefanikiwa kumsajili Michy Batshuayi Michy Batshuayi amefanikiwa kujiunga na Chelsea baada ya kukamilika kwa vipimo vya afya huko Bordeaux, chanzo cha  Sky kimeripoti

MANE KUJIUNGA NA LIVERPOOL RASMI

Picha
Sadio Mane anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kwaajili ya kujiunga na klabu ya vijogoo wa Anfield Liverpool,  ambapo gharama yake inasadikaka kuwa itakuwa kati ya £34m - hadi £36m akitokea Southampton.

MANE KUJIUNGA NA LIVERPOOL RASMI

Picha
Sadio Mane anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kwaajili ya kujiunga na klabu ya vijogoo wa Anfield Liverpool,  ambapo gharama yake inasadikaka kuwa itakuwa kati ya £34m - hadi £36m akitokea Southampton.

IBRAHIMOVIC KUJIUNGA NA MAN UTD

Picha
  Zlatan Ibrahimovic ameonesha nia ya kutaka kujiunga na kikosi cha Manchester United katika majira ya joto lakini kama kocha wa klabu hiyo Louis van Gaal

MECHI ZA LEO LIGI KUU ENGLAND

Picha
Nyasi za viwanja saba zitawaka moto katika mshike mshike wa ligi kuu ya England itayoendelea wikiendi hii. Wagonga wa nyundo wa London West ham, watakua wenyeji wa washika bunduki Arsenal, Aston Villa wanaoburuza mkia

RATIBA LIGI KUU UINGEREZA WIKI HII

Picha
  Katika ligi kuu uingereza wiki hii mechi zitachezwa katika wiwanja mbalimbali na mechi kubwa ambayo inavuta hisia za wengi ni ile kati ya Tottenham Hotspur na Manchester city, lakini tukiachana na hiyo pia mashabiki wa soka leo wanatarajia kuona kama Leceister wataendeleza ubabe wao wa kuto kupoteza mechi kwani mpaka sasa ni wao pekee ambao hawajafungwa na wanashika nafasi ya 4 mbele ya mpinzani wao wa leo Arsenal ambaye anashika nafasi ya tano akiwa na pointi 10

CHELSEA KUMSAJILI BEKI WA BARCA

Picha
Chelsea wapo kwenye harakati za kumsajili beki  wa Barcelona Dani Alves ili kuweza kuboresha safu yao ya ulinzi,taarifa kutoka kwa vyombo vya habari vya Hispania.