Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya URAIS

MWANA WA MFALME AJITOSA TENA URAIS FIFA

Picha
Mwanamfalme wa Jordan Ali Bin Al-Hussain ametangaza kuwa atasimama kuwania nafasi ya Urasi wa Shirikisho la kandanda duniani FIFA kurithi nafasi ya Rais wa sasa anayestaafu Sepp Blatter.