Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya FA

LAMPARD: TUNAHITAJI KOCHA MZOEFU

Picha
Frank Lampard ametwaa vikombe 106 huku akitupia mabao 29 ndani ya miaka 15 akiwa na timu yake ya taifa ya Uingereza

SAM ALLARDYCE KUWANIA UKOCHA ENGLAND

Picha
Bossi wa Sunderland Sam Allardyce anafanyiwa mahojiano kwaajili ya kuwa kocha wa Uingereza Sunderland wame shtushwa baada ya Sam Allardyce kusikia kuwa anafanya mahojiano ili kuwa kocha wa timu ya taifa ya Uingereza akiwa nyumbani kwa mwenyekiti msaidizi wa chama cha soka cha Uingereza FA,  David Gill jumanne hii.