TOTTENHAM YAMSAJILI VINCENT JANSSEN
Tottenham imemsajili Vincent Janssen katika dili la miaka minne Tottenham imekamilisha usajili wa Vincent Janssen kutoka AZ Alkmaar katika mkataba wa miaka minne.
Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.