KUMBUKUMBU
Jules Bianchi, 1989-2015: Ni dreva wa fomula 1(F1) ambaye wanamichezo hatuta msahau.
Kumbuka Jules Bianchi, ni dereva wa langalanga fomula one F1 ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 25,miezi tisa tu baada ya kupata ajali mwaka 2014 huko Japani,kamwe hawezi sahaulika...
Wakati Academi ya Ferrari mwaka 2010 ikiwatuma madereva wake, alikuwa ni Jules Bianchi ambaye walimchagua akiwa muwakilishi katika mashindano yaliyowahusisha Wafaransa na kuwaaminisha kuwa yeye ni dereva bora na wa ngazi ya juu akiwa na kipaji kilichogunduliwa na timu yake ya Maranello ya F1 ambayo ni maarufu na ndiyo iliyomlea pia.
Maisha yake yalikatishwa ghafla mara baada ya kupata ajali mbaya mwaka 2014 huko Japanese GP, kipaji cha Bianchi kilikuwa endelevu kwani kilionekana mapema tu pale alipoanza kuendesha magari yaendayo kwa kasi ambayo yalimtambulisha.

Jules alipewa kipindi chote katika F1 na Marussia 2013
Bianchi
alizaliwa katika mji wa Nice kusini mwa Ufaransa mnamo tarehe 3 Agosti 1989. Familia yake tangu siku nyingi ilikuwa tayari inajihusisha na mashindano ya magari ya langa langa (motorsport) ambapo babu yake Jules, Mauro alisha wahi kuwa mbingwa wa dunia wa GT na mjomba wake mkubwa Lucien alishinda mwaka 1968 Le Mans kwa masaa 24 , pamoja na kianzio 17 Grands Prix.

Jules immediately impressed when he tested for Ferrari 12 months ago
Jules Bianchi alipata majeraha makubwa kwenye kichwa chake baada ya
ajali hiyo na ndio sababu kubwa ya kifo chake japokuwa madaktari
walijaribu kuokoa kifo chake kwa muda mrefu bila mafanikio.
Kifo cha dereva huyo kimesababisha huzuni kubwa kwa mashabiki wa mchezo hasa kutokana na kuwa tegemeo kubwa kwa timu ya Ferrari.
Kifo cha dereva huyo kimesababisha huzuni kubwa kwa mashabiki wa mchezo hasa kutokana na kuwa tegemeo kubwa kwa timu ya Ferrari.

Jules alikuwa wa kwanza kwa Marussia's katika fomula one F1 kwa point baada ya kumaliza nafasi ya tisa huko Monaco mwaka 2014
Maoni
Chapisha Maoni