Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya REAL MADRID

RONALDO USO KWA USO NA LEWANDOWISK LEO

Picha
Poland v Portugal Portugal wanataka kufuzu katika hatua ya nne bora (nusu-fainali) ya michuano ya Ulaya kwa mara ya nne kati ya mara tano ya michuano hiyo hii leo wakikutana na Poland

MATOKEO LALIGA; MADRID APIGA 4, BARCA ACHEZEA KICHAPO

Picha
Ligi kuu Hispania ali maarufu kama LALIGA imeendelea mwishoni mwa wiki hii ambapo timu takribani timu 8 zilijitupa ndani ya viwanja 4 kila mmoja akisaka alama 3 muhimu kwani mara baada ya mechi za lero kila timu itakuwa imebakiza michezo

MJUE JAMES RODRIGUEZ

Picha
 Jina kamili anaitwa James Rodriguez akiwa na takribani miaka 24, alizaliwa Jul 12, 1991 katika mji wa   CĂșcuta nchini Colombia , urefu wake ni mita 1,80 m, kwa sasa ni mchezaji wa klabu ya Real Madrid inayoshiriki ligi kuu ya Hispania alimaarufu kama Laliga.Rodriguez alijiunga na klabu hiyo Jul 22, mwaka 2014 kwa ada ya uhamisho wa Euro 80m.

RODRIGUEZ AUMIA

Picha
Real Madrid imejawa na hfu juu ya uimara wa kiungo wao mshambuliaji James Rodriguez baada ya kiungo huyo kuumia kifundo cha mguu(enga) wakati akicheza mchezo wa kimataifa wa taifa lake la Colombia.