Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya USAJILI

MANCHESTER UNITED YAMSAJILI MKHITARYAN

Picha
Klabu ya Manchester United imemnunua kiungo wa kati raia wa Armenia aliyekuwa anayechezea klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani, Henrikh Mkhitaryan. Mchezaji huyo wa umri wa miaka 27 amejiunga na United kwa bei ambayo haikufichuliwa.

MANE KUJIUNGA NA LIVERPOOL RASMI

Picha
Sadio Mane anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kwaajili ya kujiunga na klabu ya vijogoo wa Anfield Liverpool,  ambapo gharama yake inasadikaka kuwa itakuwa kati ya £34m - hadi £36m akitokea Southampton.

MANE KUJIUNGA NA LIVERPOOL RASMI

Picha
Sadio Mane anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya kwaajili ya kujiunga na klabu ya vijogoo wa Anfield Liverpool,  ambapo gharama yake inasadikaka kuwa itakuwa kati ya £34m - hadi £36m akitokea Southampton.