NYOTA KIBAO EURO KUPATA ULAJI (PAYET, KROOS, POGBA, MOLATA)

Could Paul Pogba be on the move from Juventus after Euro 2016?Toni Kroos, Dimitri Payet, Alvaro Morata, Michy Batshuayi: Ni wachezaji vinara wa Euro 2016 wanaowindwa zaidi na vilabu vyenye pesa barani Ulaya


Je! Paul Pogba anaweza kuihama Juventus baada ya Euro 2016?
Wakati Euro 2016 inaingia robo fainali macho yetu yote tunayaelekeza kwa nyota ambao wameonesha kiwango kizuri tangu ianze michuano hiyo na hivyo kuhusika na tetesi mbali mbali katika dirisha hili la usajili barani ulaya.
Dirisha la usajili katika majira haya ya joto rasmi litafunguliwa Julai 1 na watu wote tunajawa na maswali mengi kuliko majibu tukijiuliza nani na nani wataenda wapi?.

Dimitri Payet (West Ham)


 Dimitri Payet celebrates after he scored his France's second goal against Albania in the group stages
Dimitri Payet  akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya Taifa ya Ufaransa goli la pili dhidi ya Albania katika hatua ya makundi
Hivi karibuni, Payet ameonekana kuwa ni mchezaji bora duniani. Magoli yake mawili aliyoyafunga katika mechi ya ufunguzi ilidhihirisha wazi kwamba mashabiki wa ligi kuu Uingereza wanapenda kuendelea kumuona katika misimu yote.
Amepiga jumla ya pasi 189 na kuwa mchezaji wa pili katika kikosi chote cha timu ya taifa ya Ufaransa na hivyo kuonekana kuwa ni mchezaji muhimu ambaye ataisaidia timu yake ya taifa kutwa ndoo ya Euro 2016.
West Ham hawana mpango wa kumuuza lakini kama litatokea dau kubwa kutoka kwa Chelsea au PSG sio raisi kwa wao kukataa.

Toni Kroos (Real Madrid)

Toni Kroos of Germany
Toni Kroos wa Germany
Kiungo huyu wa German ameonekana kuwa ni mwiba mkali katika mashindano hayo tangu yaanze na ameweza kuimudu vizuri nafasi yake ya kiungo kwa kila mechi aliocheza.

Nyota huyo mwenye miaka 26 amepiga jumla ya pasi (449) na zilizokamilika ni (417) ambazo ni pasi nyingi kuliko mchezaji yeyote katika mashindano hayo-lakini anachohitaji zaidi ni kufunga goli na pia kutwaa kombe ili kuwa mabingwa wa Ulaya.
Katika ushindi wa Germany 1-0 dhidi ya Northern Ireland, Kroos alipiga pasi nyingi zaidi (121) na kumshinda Michael O'Neill. Kroos kazidiwa pasi sita tu na Xavi Hernandez katika michuano hiyo ya Ulaya ili aweze kuandika rekodi ya pasi nyingi katika mechi moja.
Bosi mpya wa Manchester City, Pep Guardiola amewathibitishia mashabikikuwa kitita cha £37m kimeandaliwa kwaajili yake.

Radja Nainggolan (Roma)

Radja Nainggolan fires home the only goal of the game
Radja Nainggolan fires home the only goal of the game
The Belgian midfieldder has been linked with a move to Chelsea all summer but the Italian side are reluctant to let him go and it is no surprise after his displays in France.
According to reports in Italy, Chelsea will be able to complete the deal once he has helped Roma qualify for the Champions League proper in August.
He may be a defensive midfielder by trade but his goals against Sweden in the group stages and Hungary in the last 16 show he has composure on the ball, as does his 88 per cent pass completion rate.
Paul Pogba (Juventus)

France's Paul Pogba attempts a shot at goal against Switzerland
France's Paul Pogba attempts a shot at goal against Switzerland
Arguably the most sought after player in the world. There is no manager in the world that would not welcome the Frenchman into their team but only a few can afford him.
Real Madrid, Barcelona, Manchester's United and City and Bayern Munich are the clubs leading the race for his signature but Juventus do not want to let him go.
He has been strong in the tackle, completed 88 per cent of his passes and had 13 attempts at goal.
Antonio Candreva (Lazio)

Italy winger Antonio Candreva
Italy winger Antonio Candreva
Injury has restricted Candreva's appearances to only two but he has shown enough form to suggest his stay at Lazio could be coming to an end.
New Chelsea manager, and current Italy coach, Antonio Conte is naturally a fan but will face tough competition from Inter Milan for Candreva's autograph.
The 29-year-old works tirelessly up and down the wing and is not afraid to shoot from any angle or distance.
Thomas Vermaelen (Barcelona)

Belgium defender Thomas Vermaelen
Belgium defender Thomas Vermaelen
The former Arsenal defender is out of contract at the Nou Camp and has done his chances of finding a new club no harm whatsoever with some fine defensive performances.
Since the shocking 2-0 defeat to Italy in the opening group game, Vermaelen has played his role in helping Belgium keep three clean sheets in a row.
Belgium will miss Vermaelen in the quarter-final against Wales due to suspension, but the 30-year-old has already done enough to be linked with Roma, according to reports in Italy.
Alvaro Morata (Juventus)

Spain's Alvaro Morata
Spain's Alvaro Morata
The 23-year-old has not been able to establish himself in the Juve starting XI this season but has been impressive form and is currently tied first for the golden boot with three goals in four games. His performances have attracted interest from Arsenal and Chelsea.
However it is Real Madrid who hold the upper hand as they look set to activate his £23m buy-back clause they inserted into the deal that saw the Spanish striker go to Juventus. 
Juian Draxler (Wolfsburg)

Julian Draxler was impressive against Slovakia in the last 16
Julian Draxler was impressive against Slovakia in the last 16
The German playmaker has one goal and one assist in three games so far to go alongside his 85 per cent pass completion rate.
Manchester United have been heavily linked with the 22-year-old, but if Draxler does become available he will not be short of offers
Any deal will not be concluded until the end of Euro 2016 and with Wolfsburg not needing to sell it could become a pricey piece of business, especially if Bayern enter the race.
Michy Batshuayi (Marseille)

Belgium's Michy Batshuayi celebrates after scoring
Belgium's Michy Batshuayi celebrates after scoring
He may have only played 14 minutes of tournament football but he already has one goal to his name for Belgium.
His impressive performances for Marseille over the last 12 months scoring 23 goals in all competitions for a side that finished mid-table in Ligue 1, has attracted interest from a number of English clubs.
So far this summer West Ham and Crystal Palace have all submitted bids for the 22-year-old and a few more goal scoring cameos could see further interest from Europe's top clubs.
Grzegorz Krychowiak (Sevilla)

Poland's Grzegorz Krychowiak
Poland's Grzegorz Krychowiak
Krychowiak was already on the transfer radars of plenty of European giants after back-to-back Europa League successes with Sevilla.
He has been one of the standout defensive midfielders of the tournament for Poland but his passing ability is underrated. He has completed 89 per cent of his 209 attempts.
His showings at Euro 2016, particularly against Germany, may persuade Paris Saint-Germain or Manchester United to activate his €45m release clause

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii