Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya R.SANCHES

URENO YATINGA NUSU FAINALI EURO

Picha
Ureno imetinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya Euro inayoendelea nchini Ufaransa na kuwa nchi ya kwanza kufuzu katika hatua hiyo baada ya kuwafunga Poland kwa mikwaju ya penalti 5-3.