Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya SOUTHAMPTON

CLAUDE PUEL KOCHA MPYA SOUTHAMPTON

Picha
Claude Puel  ametangazwa kuwa kocha mpya wa  Southampton (picha na Southampton Football Club) Southampton wamethibitisha kumteua Claude Puel kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.

USAJILI LIGI KUU ENGLAND 2016

Picha
Ilkay Gundogan amejiunga na Manchester City kwa £21m Je! wataka kujua timu yako imemsajili nani na nani katoka? Angalia hapa katika orodha ya timu za ligi kuu England kwa walio wasajili na walioondoka katika majira haya ya joto