Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MARTIN GLENN

SAM ALLARDYCE KUWANIA UKOCHA ENGLAND

Picha
Bossi wa Sunderland Sam Allardyce anafanyiwa mahojiano kwaajili ya kuwa kocha wa Uingereza Sunderland wame shtushwa baada ya Sam Allardyce kusikia kuwa anafanya mahojiano ili kuwa kocha wa timu ya taifa ya Uingereza akiwa nyumbani kwa mwenyekiti msaidizi wa chama cha soka cha Uingereza FA,  David Gill jumanne hii.

ENGLAND YAPATA KOCHA WA MUDA

Picha
Gareth Southgate,kocha wa muda wa England Chama cha soka nchini England kinajiandaa kumtangaza Gareth Southgate kuwa kocha wa muda wa timu yake ya taifa katika mwanzo wa kampeni za kuwania kufuzu kombe ka dunia