Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya BONDIA

TYSON KUZICHAPA NA KLITSCHKO

Picha
Klitschko na Tyson Fury wakirushiana makonde Pigano la marudio kati ya Tyson Fury na Wladmir Klitschko litaandaliwa mjini Manchester mnamo mwezi Julai tarehe 9 kulingana na mkufunzi wa bondia huyo wa Uingereza. Peter Fury alituma ujumbe katika mtandao wa Twitter siku ya Ijumaa na tangazo jingine linatarajiwa baadaye.