Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya NANI

URENO YATINGA NUSU FAINALI EURO

Picha
Ureno imetinga hatua ya nusu fainali katika michuano ya Euro inayoendelea nchini Ufaransa na kuwa nchi ya kwanza kufuzu katika hatua hiyo baada ya kuwafunga Poland kwa mikwaju ya penalti 5-3.

RONALDO APATA PACHA WAKE EURO

Picha
  Christian Ronaldo ambaye alizua hofu kubwa katika michuano ya Mataifa ya Ulaya ali maarufu kama Euro kutokana na kiwango kibovu kilichokuwa kikioneshwa na timu yake ya Taifa ya Ureno ameibuka na kuwa midomoni mwa watu kutokana na kiwangokizuri alichokionesha usiku wa jana kwenye mpambano wao dhidi ya Hungary uliomalizika kwa timu hizo tutishana nguvu ya mabao 3-3.