PETER CECH RASMI ASTAAFU SOKA LA KIMATAIFA
Mlinda lango wa Arsenal Petr Cech ambaye ni raia wa Jamhuri ya Czech ametangaza kuwa amestaafu katika soka ya kimataifa.
Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.