UFARANSA YAIUA UJERUMANI 2-0 YATINGA FAINALI (PICHA)

Antoine Griezmann scored twice to send France to the Euro 2016 final



Antoine Griezmann amezama wavuni mara mbili hivyo kuifanya ufaransa kutinga fainali katika michuano ya Euro 2016
Antione Griezman ameipatia ushindi wa 2-0 Ufaransa dhidi ya Ujerumani na hivyo kufanya ufaransa kukutana na Ureno kwenye fainali siku ya jumapili baada ya Ureno kuifunga Wales jana kwa goli la Ronaldo la dk 5o na lile la Luis Nani la dk 53.Griezmann of France celebrates scoring his team's second goal with Andre-Pierre Gignac

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii