Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya ICELAND

KOCHA WA ENGLAND AJIUZULU BAADA YA KICHAPO

Picha
Roy Hodgson amejiuzulu kuendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya England punde mara baada ya kufungwa na Iceland katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Ulaya Euro 2016