KOCHA WA ENGLAND AJIUZULU BAADA YA KICHAPO
Roy Hodgson amejiuzulu kuendelea kuwa kocha wa timu ya taifa ya England punde mara baada ya kufungwa na Iceland katika hatua ya 16 bora ya michuano ya Ulaya Euro 2016
Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.