Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MANCHESTER UNITED

MANCHESTER UNITED YAMSAJILI MKHITARYAN

Picha
Klabu ya Manchester United imemnunua kiungo wa kati raia wa Armenia aliyekuwa anayechezea klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani, Henrikh Mkhitaryan. Mchezaji huyo wa umri wa miaka 27 amejiunga na United kwa bei ambayo haikufichuliwa.

MANCHESTER UNITED YALAMBA BONGE LA BEKI (PICHA)

Picha
Eric Bailly ni nani? Ni usajili mpya wa Jose Mourinho akiwa Manchester United Anaharaka, mjuzi, ananguvu na ni mzuri akiwa na mpira, Bailly amekidhi vigezo vyote vya beki katika kikosi cha Jose Mourinho .