Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya EVERTON

CLAUDE PUEL KOCHA MPYA SOUTHAMPTON

Picha
Claude Puel  ametangazwa kuwa kocha mpya wa  Southampton (picha na Southampton Football Club) Southampton wamethibitisha kumteua Claude Puel kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.