RATIBA LIGI KUU UINGEREZA WIKI HII

 
Katika ligi kuu uingereza wiki hii mechi zitachezwa katika wiwanja mbalimbali na mechi kubwa ambayo inavuta hisia za wengi ni ile kati ya Tottenham Hotspur na Manchester city, lakini tukiachana na hiyo pia mashabiki wa soka leo wanatarajia kuona kama Leceister wataendeleza ubabe wao wa kuto kupoteza mechi kwani mpaka sasa ni wao pekee ambao hawajafungwa na wanashika nafasi ya 4 mbele ya mpinzani wao wa leo Arsenal ambaye anashika nafasi ya tano akiwa na pointi 10

 Ratiba ya England - Premier League
September 26

14:45 Tottenham Hotspur vs Manchester City


 
17:00 Leicester City vs  Arsenal


17:00 Liverpool vs Aston Villa


17:00 Manchester United vs Sunderland


17:00 Southampton vs Swansea City


17:00 Stoke City vs AFC Bournemouth


17:00 West Ham United vs Norwich City


19:30 Newcastle United  vs Chelsea


September 27

18:00 Watford vs Crystal Palace


September 28
 

22:00  West Bromwich Albion vs Everton

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii