Ruka hadi kwenye maudhui makuu
RATIBA LIGI KUU UINGEREZA WIKI HII
Katika ligi kuu uingereza wiki hii mechi zitachezwa katika wiwanja mbalimbali na mechi kubwa ambayo inavuta hisia za wengi ni ile kati ya Tottenham Hotspur na Manchester city, lakini tukiachana na hiyo pia mashabiki wa soka leo wanatarajia kuona kama Leceister wataendeleza ubabe wao wa kuto kupoteza mechi kwani mpaka sasa ni wao pekee ambao hawajafungwa na wanashika nafasi ya 4 mbele ya mpinzani wao wa leo Arsenal ambaye anashika nafasi ya tano akiwa na pointi 10
Ratiba ya England - Premier League September 26
14:45 Tottenham Hotspur vs Manchester City
17:00 Leicester City vs Arsenal
17:00 Liverpool vs Aston Villa
17:00 Manchester United vs Sunderland
17:00 Southampton vs Swansea City
17:00 Stoke City vs AFC Bournemouth
17:00 West Ham United vs Norwich City
19:30 Newcastle United vs Chelsea
September 27
18:00 Watford vs Crystal Palace
September 28
22:00 West Bromwich Albion vs Everton
Maoni
Chapisha Maoni