Machapisho

KOMPANY KUIKOSA PSG KESHO

Picha
Vincent Kompany not fit enough for Man City's Champions League clash with PSG By Dev Trehan Last Updated: 11/04/16 3:38pm Bosi wa Manchester City Manuel Pellegrini amethibitisha kuwa nahodha Vincent Kompany hatacheza katika mpambano wa robo fainali wa UEFA wa marudiano dhidi ya PSG

IBRAHIMOVIC KUJIUNGA NA MAN UTD

Picha
  Zlatan Ibrahimovic ameonesha nia ya kutaka kujiunga na kikosi cha Manchester United katika majira ya joto lakini kama kocha wa klabu hiyo Louis van Gaal

MANNY PACQUIAO AMCHAPA TIM BRADLEY

Picha
Bondia Mfilipino Manny Pacquiao amemchapa bondia kutoka Marekani Tim Bradley katika pigano lake la mwisho. Mfilipino huyo ambaye alishindwa katika pigano lake kuu dhidi ya bondia tajiri zaidi duniani Floyd Mayweather amekuwa bingwa katika vitengo mbali mbali

ESPERANCE YAKIONA CHA MOTO KWA AZAM

Picha
  Michuano ya kombe la shirikisho Afrika imeendelea tena Jumapili kwa michezo kadhaa ,Azam fc wakicheza nyumbani Azam complex jijini Dar es salaam walifanikiwa kuwachapa Esperance ya Tunisia mabao

MATOKEO EPL WEEKEND HII, LEICESTER HAISHIKIKI, MAN YAPIGWA 3

Picha
Ligi kuu ya soka ya England imeendelea tena jumapili kwa michezo mitatu ,Sunderland wakicheza nyumbani dhidi ya vinara wa ligi Leicester city, waliambulia kipigo cha mabao 2-0, na kuwafanya leicester city kufikisha alama 72 katika Msimamo.

MAGAZETI YA LEO APRIL 11, 2016 UCHAWI WAIUA YANGA, MOURINHO AGOMA MAN UTD...

Picha

SOMA MAGAZETI JUMAPILI YA LEO TAR.10,APRIL 2016

Picha