Machapisho

PROFESA KAPUYA ATUA YANGA, AKABIDHIWA KOMBE LA UBINGWA LIGI KUU

Picha
WAZIRI wa zamani wa Michezo nchini, Profesa Juma Othman Kapuya leo amevunja mwiko na kuzuru makao makuu ya klabu ya Yanga, Jangwani mjini Dar es Salaam. Kapuya ambaye ni mpenzi na mwanachama wa klabu ya

TFF WAKANA TUHUMA ZA UFISADI, WAPANGA KUWACHUKULIA HATUA WANAOENEZA

Picha
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepanga kuwafungulia mashataka watu waliosambaza ujumbe ambao sio wa kweli kwenye mitandao ya kijamii kufuatia taarifa walizokuwa wanazisambaza zikidai kuwa shirikisho hilo limeongeza posho za

MESSI ASAINI MKATABA MPYA BARCA HADI 2021

Picha
KLABU ya  Barcelona  imekubali kumpa mkataba mpya nyota wake,  Lionel Messi  hadi mwaka 2021 na sasa wanajiandaa kumpa mkataba wa

DELE ALLI ATUA MIKONONI MWA MENDE'S

Picha
Dele Alli kubadili wakala wake mwakani Jorge Mendes yupo mbioni kukamilisha saini ya Dele Alli tayari kuwa wakala wake

HAMOU AFUNGIWA KUCHEZA FRENCH OPEN KWA KUMBUSU MWANDISHI WA HABARI

Picha
Mchezaji wa Tenisi Maxime Hamou amefungiwa kushiriki michuano ya French Open mjini Paris, baada ya kujaribu kumbusu mwandishi wa habari mara kadhaa wakati wa mahojiano

WENGER APEWA MKATABA WA MIAKA 2 ARSENAL

Picha
  Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amekubali kuchukua mkataba wa miaka miwili katika klabu hiyo, hatua itakayoendeleza muda ambao amekaa katika klabu hiyo