CHELSEA YAIKOMALIA LIVERPOOL ANFIELD

Willian (C) celebrates after scoring Chelsea's first goal during the English Premier League football match between Liverpool and Chelsea
Willian akishangilia baada ya kufunga goli pekee la Chelsea kwenye mchezo wa ligi kuu England dhidi ya Liverpool
 Klabu ya Chelsea imefanikiwa kuibuka na alama moja ikiwa ugenini dhidi ya
Liverpool. Sare hiyo imepatikana kunako dakika za usiku (85) kwa shuti kali lililowekwa wavuni na Willian ambaye alitokea benchi na kucheza sekunde 144 za ushindi.
Willian amefanikiwa kusawazisha na kufanya sare ya 1-1 mbele ya Liverpool, ambao walitangulia kwa goli la Mo Salah dakika ya 65.

Man of the match - Mo Salah

Mohamed Salah with a reserved celebration after giving Liverpool the lead
Mohamed Salah akionesha ishara ya kushangilia baada ya kuipatia Liverpool goli la kuongoza dk 65
Salah, ndiye mfungaji anayeongoza kwa sasa EPL baada ya leo kutimiza mabao 10 akiifunga timu yake ya zamani Chelsea

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii