Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.
CHELSEA YAIKOMALIA LIVERPOOL ANFIELD
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Willian akishangilia baada ya kufunga goli pekee la Chelsea kwenye mchezo wa ligi kuu England dhidi ya Liverpool
Klabu ya Chelsea imefanikiwa kuibuka na alama moja ikiwa ugenini dhidi ya
Liverpool. Sare hiyo imepatikana kunako dakika za usiku (85) kwa shuti kali lililowekwa wavuni na Willian ambaye alitokea benchi na kucheza sekunde 144 za ushindi.
Willian amefanikiwa kusawazisha na kufanya sare ya 1-1 mbele ya Liverpool, ambao walitangulia kwa goli la Mo Salah dakika ya 65.
Man of the match - Mo Salah
Mohamed Salah akionesha ishara ya kushangilia baada ya kuipatia Liverpool goli la kuongoza dk 65
Salah, ndiye mfungaji anayeongoza kwa sasa EPL baada ya leo kutimiza mabao 10 akiifunga timu yake ya zamani Chelsea
Chelsea imefanikiwa kumsajili Michy Batshuayi Michy Batshuayi amefanikiwa kujiunga na Chelsea baada ya kukamilika kwa vipimo vya afya huko Bordeaux, chanzo cha Sky kimeripoti
Ikiwa leo ni Septemba 21, 2016 magazeti ya leo yamekuja na habari kadha wa kadha ikiwemo ile ya Ajali mbaya, mwamuzi kiboko apewa Yanga vs Simba na kwenye burudani Alikiba Helikopta Diamond
Julai 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na siasa ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @ cauntermgaya ili niwe nakutumia kila kinachonifikia
Maoni
Chapisha Maoni