CLAUDE PUEL KOCHA MPYA SOUTHAMPTON


Claude Puel is presented as Southampton's new manager (picture courtesy of Southampton Football Club)
Claude Puel  ametangazwa kuwa kocha mpya wa  Southampton (picha na Southampton Football Club)
Southampton wamethibitisha kumteua Claude Puel kuwa kocha wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.

Mfaransa huyomwenye umri wa miaka 54 amechukua nafasi ya kocha Ronald Koeman ambaye aliandika barua ya kutaka kujiunga na Everton.Ronald Koeman left Southampton to take over at Everton


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii