Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2016

ROGER FEDER AKUMBWA NA MAJERAHA

Picha
Mchezaji bora namba tatu wa Dunia katika mchezo wa Tenisi Roger Federer atakuwa nje ya uwanja kwa muda mwezi baada ya kuumia goti.

BARCA YAUA 7-0 VALENCIA

Picha
  Klabu ya Valencia chini ya nyota wa zamani wa Manchester United Gary Neville ilipewa kichapo cha mwaka na klabu ya Barcelona katika nusufainali ya michuano ya Copa del Rey baada ya kubebeshwa magoli saba.