Karibu upate habari za michezo ya aina zote kwa haraka na uhakika. Utapata habari za soka, mpira wa kikapu, Tennis, mpira wa pete, masumbwi, mashindano ya magari, riadha na michezo mingine. Hapa utapata matokeo ya mechi mbalimbali, taarifa za wachezaji na timu zao.
ROGER FEDER AKUMBWA NA MAJERAHA
Pata kiungo
Facebook
Twitter
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
Mchezaji bora namba tatu wa Dunia katika mchezo wa Tenisi Roger Federer atakuwa nje ya uwanja kwa muda mwezi baada ya kuumia goti.
Roger Feder
Federer mwenye miaka 34 ambaye ni mshindi mara 17 wa Grand Slam aliumia wakati wa mashindano ya wazi ya Australian huku akiondoshwa katika hatua ya nusu fainali na Novak Djokovic wiki iliyopita.
Chelsea imefanikiwa kumsajili Michy Batshuayi Michy Batshuayi amefanikiwa kujiunga na Chelsea baada ya kukamilika kwa vipimo vya afya huko Bordeaux, chanzo cha Sky kimeripoti
Toni Kroos, Dimitri Payet, Alvaro Morata, Michy Batshuayi: Ni wachezaji vinara wa Euro 2016 wanaowindwa zaidi na vilabu vyenye pesa barani Ulaya Je! Paul Pogba anaweza kuihama Juventus baada ya Euro 2016?
Maoni
Chapisha Maoni