TIGER WOODS ASHUTUMIWA KWA ULEVI

 Photo published for Tiger Undergoes Successful Back Surgery to Alleviate Pain - Newsfeed
Siku moja baada ya mchezaji nyota wa gofu Tiger Woods kukausha kuwa hakuwa amelewa wakati polisi walipomkamata siku ya jumatatu, taarifa za polisi zinasema kuwa mchezaji huyo alikutwa amelala ama (amezima) wakati injini ya gari ikiwa inafanya kazi

.
This file photo taken on February 1, 2017 shows Tiger Woods of the United States playing a shot during the Dubai Desert Classic golf tournament at the Emirates Golf Club in Dubai. Woods announced on his website on April 20, 2017, that he has undergone a fourth back surgery to alleviate pain, one that likely sidelines him at least until October. /
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Woods mchezaji wa zamani namba moja kwa ubora duniani, alikutwa katika usukano wa gari yake aina ya Mercedes na aliamshwa kwa dakika kadhaa na afisa wa polisi aliyemuona.
Alikamatwa kwa kosa la kuendesha chombo cha moto akiwa amelala lakini alikanusha hilo na kusema kuwa ni matokeo ya dawa kali anazozitumia baada ya kufanyiwa upasuaji wa mgongo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii