MACHOZI YAMZIDIA TERRY KUIAGA CHELSEA!

John Terry applauds fans as he leaves the pitch
Baada ya miaka 22 ya kuitumikia Chelsea, hali inaonekana kuwa ya huzuni kwa John Terry kuzuia hisia zake za kuondoka klabuni hapo
.Na baada ya kuwashukuru wachezaji wenzake,viongozi,  mashabiki, Roman Abramovich na mke wake, alibugujikwa na machozi huku akisema siku moja atarudi na daima anaipenda klabu ya Chelse.Terry's final Chelsea match could be the FA Cup final against Arsenal if he features
Hivyo siku ya jana John Terry ameaga rasmi ndani ya kikosi cha Chelsea na kitambaa cha unaodha amemkabidhi Gary Cahil
 The Chelsea team's guard of honor for John Terry

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii