DEFOE KWENDA AFC BOURNEMOUTH

Jermain Defoe has agreed to join Bournemouth from Sunderland
Mshambuliaji wa timu ya Sunderland Jermain Defoe, anatarajiwa kujinga na klabu ya Afc Bournemouth kwa uhamisho wa bure
.
Mshambuliaji huyu wa timu ya taifa ya England mwenye miaka 34 alijiunga na Sunderland mwezi Januari mwaka 2015, na kufunga jumla ya mabao 15.
Defoe aliwahi kuichezea Bournemouth kwa mkopo akiwa kinda katika msimu wa 2000- 2001, akitokea klabu ya West Ham United
Uhamisho wa wa mshambuliaji huyu unaweza kufanywa haraka na kutangazwa kwa mapema wiki hii.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii