ARSENAL WASHINDWA KUFUZU UEFA


Arsenal ilianza mechi vizuri ikiwa pointi
moja nyuma ya Liverpool na walikuwa katika nafasi bora kuchukua nafasi
yao wakati waliongoza mnamo dakika ya nane.
Lakini ukakamavu wa Liverpool uliiwezesha kusalia katika timu nne za kwanza baada ya kuwatandika Middlebrogh mabao 3-0.

Manchester City ilishika nafasi ya tatu baada ya kuinyuka Watfoird mabao 5-0.


Maoni
Chapisha Maoni