ARSENAL WASHINDWA KUFUZU UEFA

Arsenal imeshindwa kufuzu kwa kombe la klabu bingwa barani ulaya, Champions League kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 20 licha ya ushindi wake dhidi ya Everton wa mabao 3-1 katika siku ya mwisho ya mechi za Primia League.

Arsenal ilianza mechi vizuri ikiwa pointi moja nyuma ya Liverpool na walikuwa katika nafasi bora kuchukua nafasi yao wakati waliongoza mnamo dakika ya nane.
Lakini ukakamavu wa Liverpool uliiwezesha kusalia katika timu nne za kwanza baada ya kuwatandika Middlebrogh mabao 3-0.Arsene Wenger cuts a dejected figure in the dugout at the Emirates Stadium
Manchester City ilishika nafasi ya tatu baada ya kuinyuka Watfoird mabao 5-0.
Banners have been flown over stadiums this season asking for Wenger to leaveArsenal fans hold up anti-Wenger signs after the match at West Brom

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii