POLENI MASHABIKI WA CHELSEA: TERRY OUT VS LIVERPOOL

John Terry left the Liberty Stadium on crutches on Sunday
John Terry aliondoka uwanjani Liberty Stadium siku ya Jumapili akiwa anachechemea mguu
John Terry atakosekana kwenye kikosi cha Chelsea usiku wa Jumatano ambapo watakuwa nyumbani kuikaribisha  Liverpool baada ya kuumia mishipa ya mguu wake na hivyo atakuwa nje kwa siku 10.


Terry, 35, waligongana na mchezaji wa Swansea Leroy Fer katika dakika za mwisho ambapo Chelsea walisawazisha na kufanya matokeo kuwa 2-2 katika uwanja wa Liberty Stadium ukiwa ni mchezo wa nne kwenye ligi kuu ya England na kwa sasa madaktari wa timu wamethibitisha majeraha hayo.

Chelsea vs Liverpool

Septemba 16, 2016, 6:30pm
Itaonyeshwa Live kupitia
Katika akaunti yake ya Instagram, Terry ameandika: "Nina tatizo la kuumia mishipa katika enka ya mguu wangu ambalo litanifanya niwe nje kwa siku 10".

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii