LIVERPOOL YAISULUBISHA CHELSEA, YAIPIGA KWAO

Lovren celebrates scoring the first goal of the game
Jordan Henderson alifunga goli la msimu usiku wa leo wakati Liverpool ikiicharaza Chelsea 2-1 katika dimba la Stamford Bridge. Kikosi cha Jurgen Klopp kilionekana kuwa na nguvu zaidi kipindi cha kwanza ambapo nguvu hiyo iliwasaidia kuwapiga wapinzani wao goli mbili, magoli yalifungwa na Dejan Lovren na Henderson.
Chelsea, baada ya kurudi kutoka mapumziko walijitahidi kubadili mchezo na kufanya Diego Costa kupata goli lake la tano katika msimu huu mnamo dakika ya 29
Diego Costa scores for Chelsea in the second half at Stamford Bridge
Diego Costa akiifungia Chelsea
huku Liverpool wakipoteana hali iliyowafanya warudi nyuma kulinda.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii