WILLIAN ASAINI MIAKA MINNE CHELSEA

Willian has committed his future to Chelsea


Willian aendelea kutumikia maisha yake ya soka Chelsea
Mshambuliaji wa Chelsea Willian amesaini mkataba wa miaka minne ili kuendelea kubakia Stamford Bridge.

Willian has scored 19 goals in 140 appearances for Chelsea
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 27 alichaguliwa kuwa mchezaji bora ndani ya chelsea katika msimu wa 2015/16 na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake na hivyo sasa atakaa pale mpaka 2020.
Willian amefunga mabao 19 katika mechi 140 arobaini alizoichezea Chelsea tangu afike Stamford Bridge akitokea Urusi katika klabu ya Anzhi Makhachkala kwa dau la £32m mwaka 2013.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii