RAIS WA URENO AWAPOKEA KIFALME WACHEZAJI

The Portugal stars paraded their silverware into Lisbon city centre

Maelfu ya mashabiki wa timu hiyo walikusanyika katika uwanja wa ndege

Rais wa Ureno Marcelo Rebelo de Sousa ameikaribisha nyumbani timu ya taifa ya nchi hiyo baada ya kushinda michuano ya Euro 2016.
Maelfu ya mashabiki wa timu hiyo walikusanyika katika uwanja wa ndege mbele ya kasri ya Rais,na katika mitaa ya mji mkuu Lisbon kusheherekea ushindi huo wa kwanza kwa nchi hiyo.Cristiano Ronaldo was taken off injured but Portugal still lifted the trophy
Nahodha wa timu hiyo Cristiano Ronaldo alilipeleka kombe hilo kwenye kasri ya Rais kabla ya kuanza kulitembeza katika mitaa ya jiji la Lisbon wakiwa katika gari la wazi.
Wametajwa kama mashujaa wa nchi hiyo.Portugal's plane - nicknamed Eusebio - was showered with red and green
Mjini Paris Francois Hollande alikutana na timu ya Ufaransa iliyoshika nafasi ya pili kwenye kasri yake ya Elysee.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii