MANCHESTER UNITED YAWATEMA NYOTA WAWILI(PICHA)

Guillermo Varela is not part of Jose Mourinho's plans at Old Trafford


Guillermo Varela hayupo kwenye mipango ya Jose Mourinho Old Trafford
Tyler Blackett na Guillermo Varela wapo tayali kwa kuuzwa na Manchester United baada ya Jose Mourinho kusema hawana mchango wowote pale Old Trafford
, chanzo cha Sky kinathibitisha.
Tyler Blackett has also been told he can leave Manchester United
Si Blackett, ambaye ni beki wa kati, wala Varela, ambaye ni beki wa pembeni ambao wamekuwa wakifanya mazoezi na kikosi cha United hii ni dalili ya wazi kwamba hawapo kwenye mipango ya baadae ya Mourinho




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii