ENGLAND YATOLEWA EURO

Joe Hart allowed Sigthorsson's shot to put Iceland in front after 18 minutes
Timu ya Iceland imeoiondoa England kwa mabao 2-1 katika michuano ya mpira ya Euro 2016 inayoendelea nchini Ufaransa.
Kipigo hiko kimepelekea kujiuzulu kwa kocha wa timu hiyo Roy Hodgson,ambaye ameelezea hayo mara tu bada ya kumalizika kwa mchezo huo katika mkutano na waandishi wa habari akiwa ameiongoza kwa miaka minne.
 (Left to right) Wayne Rooney, Dele Alli and Eric Dier look on dejected
Iceland kwa sasa itakutana na mwenyeji wa michuano hiyo Ufaransa mjini Paris Jumapili Julai 3.Katika mchezo mwingine bingwa mtetezi Hispania ameondolewa kwa kichapo cha 2-0 ilipokipiga dhidi ya Italia.
Graziano Pelle struck in injury-time to seal Italy's place in the last eight of Euro 2016

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii