NADAL AMCHAPA MURRAY

Nadal amchapa Murray

Mchezaji namba tano kwa ubora wa mchezo wa tenesi kwa upande wa wanaume Rafael Nadal,amemshinda muingereza Andry Murray.
Nadal ameshinda mchezo huo kwa jumla ya seti 6-4 6-1, mchezo uliofanyika katika uwanja wa O2 Arena.Nae Stan Wawrinka anayeshikilia nafasi ya nne kwa ubora alimfunga mpinzani wake David Ferrer aliyeko katika nafasi ya saba kwa jumla ya seti 7-5 6-2.
Rafael Nadal

Murray atacheza na Wawrinka katika mchezo wa mwisho wa makundi siku ya ijumaa.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii