JUAN MATA AING'ARISHA HISPANIA KUFUZU EURO 2016



Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akimpongeza Juan Mata (kushoto) baada ya krosi yake kuipa bao pekee la ushindi Hispania dhidi ya Macedonia mchezo wa Kundi C kufuzu Euro 2016 mjini Skopje.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii