WENGER APANIKI...AKOSOA REFA (PICHA)
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger amemkosoa Refa Michael Oliver kwa kukataa goli ambalo lilikuwa la muhimu kwao na kupelekea kudroo 0-0 dhidi ya Liverpool katika mchezo uliopigwa uwanja wa Arsenal Emirates.

Arsenal wamefungwa mechi tano kati ya mechi mechi sita za ligi walizocheza nyumbani.
Maoni
Chapisha Maoni