SIMBA YAPATA STRAIKA MPYA

Papa Niang anatarajia kujiunga na klabu hiyo baada ya siku mbili zijazo akiwa ni Straika mashuhuri kukipiga msimbazi.

Papa Niang alizaliwa mnamo mwaka 1988 desemba 5 na kwa sasa ana umri wa miaka 26.
Endapo Simba itafanikiwa kunasa saini ya straika huyu watakuwa wamezidi kubaresha katika nafasi ya ushambuliaji.
Maoni
Chapisha Maoni