MAN UTD YAUA 3 UEFA

Katika mtanange huo ulioanza kwa kasi ya ajabu kiungo wa manchester united Michael Carrick alijikuta akijifunga mapema tu mnamo dakika ya 8 alipokuwa akijaribu kuokoa.

Hiyo ilikuwa ni mechi ya kwanza ya michuano ya klabu bingwa Ulaya UEFA ambapo man utd walikuwa nyumbani ambapo Mephis Depay alikuwa mchezaji bora(man of the match).
Maoni
Chapisha Maoni