MAKUNDI YA UEFA HAYA HAPA!

 Makundi ya UEFA sasa haya hapa kila timu yajua mbaya wake mapemaaaaa... angalia timu yako iko kundi gani,lakini katika makundi hayo kundi D la timu za Man City na Juve ikiwa ni pamoja na lile kundi F la Bayern na Arsenal yameonekana kuleta gumzo.

  • Group A: PSG, Real Madrid, Shakhtar, Malmo
  • Group B: PSV, Man Utd, CSKA, Wolfsburg
  • Group C; Benfica, Atletico, Galatasaray, Astana
  • Group D: Juventus, Man City, Sevilla, B Mon'gladbach
  • Group E: Barcelona, B Leverkusen, Roma, BATE Borisov
  • Group F: B Munich, Arsenal, Olympiacos, D Zagreb
  • Group G: Chelsea, Porto, D Kiev, M Tel-Aviv
  • Group H: Zenit, Valencia, Lyon, Gent

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii