JUVE SASA USO KWA USO NA BARCA

Juventus celebrate reaching the Champions League final

Juventus watakutana na Barcelona katika fainali ya michuano ya UEFA baada ya goli la Alvaro Morata hapo jana kuwapeleka mbele kwa jumla ya magoli 3-2 ukiwa ni ushindi dhidi ya Real Madrid ambao walikuwa wenyeji pale Bernabeu.

Waitalia hao walikuja nyuma baada ya goli la kuongoza la Cristiano Ronaldo mnamo dakika ya 23 kwa penati na kuwafanya Real kuwa kifuambele hadi mapumziko.

Alvaro Morata celebrates after scoring in the Bernabeu

Katika mpambano huo wa jana ambapo ulimalizika kwa sare ya 1-1 uliwanyima nafasi Real kutokana na mechi ya kwanza kufungwa 2-1. 

       

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii